
Kikosi cha Simba
Na Abducado Emmanuel, Dar es SalaamCHATI ya ufungaji mabao katika Ligi Kuu ya Vodacom, imeonekana kupanda kwa kasi msimu huu kutokana na mabao 207 kufungwa hadi kumalizika kwa mzunguko wa kwanza wa ligi hiyo tofauti na msimu uliopita.Msimu uliopita baada ya kumalizika kwa mzunguko wa kwanza, jumla ya mabao 196 yalifungwa lakini msimu huu kuna tofauti kubwa kutokana na idadi ya mabao yaliyofungwa.Timu za Simba, Mtibwa Sugar na...